Friday, November 8, 2013

NISAIDIENI JAMANI...!! MKE WANGU MVIVU KUPINDUKIA KILA IDARA, NIFANYEJE AJIREKEBISHE....??



Habari, 

Mimi nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa na tuna watoto wa 2. Nlimuoa mwanamke aliyekuwa kamaliza degree ambaye alikuwa home tu at the time anatafuta ajira. Toka nimuoe hajawahi kufanya kazi yoyote ile yaani Goalkeeper mpaka leo na kutafuta kazi alisha acha. Mpaka leo hii mke wangu hajabadilika. Namlipa mshahara mwisho wa mwezi ambao ni sawa na kama 10k per day yaani (300k). Kila ninapojaribu kumtafutia kazi anafanya kidogo tu anaacha. Huwezi amini hata umlazimishe vipi ajishughulishe mzito ile mbaya. Mi ni mfanyabiashara(Magari Makubwa) nimemuanzishia vimiradi through the years vyote kala mtaji. Kuna kipindi alijaribu kusoma masters ya bussiness administration nkamlipia ada, nunua vitabu vyote alafu yeye akaamua kuacha baada ya mwezi tu Eti kuamka alfajiri hawezi. Nkaja nkamuomba basi asome chuo ambacho atakuwa anaingia mchana nacho alishindwa.

Tatizo rafiki yake mkubwa ni mama yangu mzazi hivo kuna kipindi nlikata mshahara wake ili kumlazimisha afanye kazi akakimbilia kulia manyanyaso nikalazimishwa hela yake isiguswe na wazazi wangu. Nkienda kazini namuacha nyumbani na home kwenyewe hafanyi chochote anaita tu housegirl. Yaani yupo yupo tu siku hadi siku. Nifanyaje ili hata nikianguka leo au kesho awe ni mama atakayeweza kusomesha watoto.


Alafu matumizi yake ya hela mabaya yaani hela yake mwenyewe ukimpa mwanzo wa mwezi kwenye tarehe 1 hiv basi ikifika tarehe 8 ujue alikuwa anaumwa. Ila ni hela yake na hainunui hata nguo ya mtoto hivyo hainihusu. Nifanyaje ajishughulishe?








TOA MAONI YAKO HAPA CHINI


HUYU NDIYE MCHAWI ALIYEDONDOSHWA NA MAOMBI YA MAKOMANDOO WA VHM ALFAJIRI .....!!!

Makomandoo wa VHM wakiwa katika Operation ya kusambaratisha kazi za shetani afajiri baada ya maombi mazito mama aliyekuwa na tumbo kubwa akidhaniwa ni mjamzito kumbe hakuwa na mimba yoyote. Baada ya maombi mazito chini ya usimamizi wa makomandoo ya Yesu kupitia Voice of Hope Ministry alijikuta akitapika meno ya mbwa, nywele na vitu visivyojulikana. Siku chache
baadaye kutokana na nguvu ya maombi yaliyokuwa yakifanywa na makomandoo ya Yesu hapo kijijini saa 8.45alfajiri mchawi aliyekuwa akiruka angani kuelekea Bagamoyo alivutwa na nguvu za Bwana na kujikuta akidondoka chini kutoka angani na hakuweza kufanya kitu chochote tena.

TAZAMA PICHA CHAFU ZA NUSU UCHI ALIZOPIGA WEMA SEPUTU ZILIZOZAGAA MTANDAONI......!!!!




Wema ambaye ni msanii maarufu wa bongo movie ambaye alipiga picha hizi na kuweka kwenye mtandao wa instagram ,kiukweli siyo vizuri kwa msanii mkubwa kama huyu kufanya hivyo

HII NI LAANA...!!! PICHA CHAFU ZA MWANAFUNZI MWINGINE WA CHUO KIKUU HAPA NCHINI ZAVUJA MTANDAONI...

 
Picha  chafu  za  Mwanafunzi wa  chuo  kikuu   zimeanikwa mtandaoni  na  mabinti  wenzake  anaoishi  nao  chumba  kimoja....

Imeelezwa  kuwa, mabinti  hao  walizianika  picha  hizi  baada  ya  kuchoshwa  na  tabia  yake    ya  kufanya  mapenzi  na  wapenzi  wake  ndani  ya  chumba  chao.

Bofya  hapo  chini  kuziona  picha  hizo
                                  <<<<<<BONYA HAPA>>>>>
                                                               

MAUAJI YA KIKATILI SUMBAWANGA, KIJANA ACHINJWA WATU WATOWEKA NA KICHWA CHAKE ...ANGALIA PICHA


MATUKIO ya mauaji ya kikatili yameendelea kushamiri mkoani Rukwa, baada ya watu wasiojulikana kumuua kikatili mtu mmoja kwa kumchinja  na kutokomea kusikojulikana na kichwa cha mtu huyo.

Baadhi ya askari polisi wakitelemsha maiti ya mtu ambaye ameuawa  kwa kukatwa kichwa na watu kutoweka na kichwa chake usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya kuhifadhi katika hchumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali ya mkoa iliyopo mjini Sumbawanga.

Mwenyekiti huyo aliongeza kuwa watu hao baada ya kufanya mauaji hayo walikwenda kumtupa kwenye eneo hilo ambapo asubuhi ya kuamkia leo ndio kiwiliwili chake kilibainika kuwepo hapo lakini hakina kichwa kwani waliondoka nacho.

Kwa upande wake, Kamanda wa polisi mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema kuwa polisi inaendelea kuwasaka watu waliohusika na tukio hilo hili hatua ziweze kuchukuliwa

LAANA..!MREMBO AKODI CHUMBA GESTI, AINGIZA WANAUME KWA ZAMU USIKU KUCHA...AFANYIWA YA SODOMA....SOMA ZAIDI


 Zuena akiwa na mteja wake chumbani mara baada ya kunaswa na polisi.

Zuena akitoka chumbani kuelekea kwenye gari la polisi.


 Baadhi ya zana alizotumia Zuena zikiwa sakafuni chumbani kwake.
 Zuena Mohammed akivaa nguo zake baada ya kunaswa na mteja chumbani.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni jijini Dar kwa kushirikiana na Oparesheni    Fichua
Maovu (OFM)  wamemnasa mrembo Zuena Mohammed anayedaiwa kukodi chumba cha gesti na kuingiza wa- naume kwa zamu usiku kucha.
Tukio hilo lilijiri chumba namba 14 ndani ya Gesti ya Mori Lodge iliyopo Sinza jijini Dar ambapo mwanamke huyo alikuwa amekodi chumba hicho na kuwapanga wanaume kwa foleni kwa ajili ya kutoa huduma haramu ya ngono.

AFM Watonywa.
Awali, ‘makachero’ wa OFM walitonywa kuwepo kwa ishu hiyo na chanzo chake kilichodai kuk- erwa na tabia ya mrembo huyo ambaye amekuwa akitishia afya za wanaume wakiwemo vigogo wa serikali ambao ilidaiwa kuwa ni sehemu ya wateja wake.


Chanzo: Jamani OFM mpo ka- zini?

OFM: Tumejaa tele leta maneno.
Chanzo: Mimi naitwa (anataja jina) lakini naomba msinitaje. Kuna mrembo mmoja amekodi chumba gesti...yaani anapanga wanaume foleni anagawa dozi ya penzi.
OFM: Hatuwezi kukutaja tuna- heshimu vyanzo vyetu vya habari. Una uhakika na taarifa zako?
Chanzo: Nina uhakika asili- mia zote. Ninyi nendeni pale Mori Lodge maeneo ya Sinza, fanyeni kazi yenu mtapata mkanda kamili.

OFM kazini
Baada ya kupenyezewa ‘tipu’ hiyo, OFM iliingia kazini na ‘kuliteka’ eneo la tukio kwa uchunguzi na kubaini undani wa ufuska huo wa kutisha.
Kabla ya yote ‘memba’ wa OFM alijifanya mmoja wa wanaume waliokuwa wakihitaji huduma ya mrembo huyo hivyo kujipatia data nyingi kabla ya kubadilisha uamuzi baada ya kupata ishu kamili.

Tukio Laivu
Kilichofuata ni kwamba OFM iliwasiliana na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni ambalo nalo baada ya kupokea taarifa hizo bila kusita lilifika eneo la tukio na kumnasa mrembo huyo akitoa hudumu kwa mwanaume ndani ya chumba hicho.
Katika hali ya sintofahamu, mazingira ndani ya chumba hicho yalionesha kuwa mrembo huyo ni mpangaji wa kudumu ambapo kulikuwa na meza ya kujiremba (dressing table) iliyosheheni mazagazaga ya vipodozi.

 
Ndani ya chumba hicho kulikutwa kondom zilizotumika na zisizotumika zikiwa zimezagaa sakafuni,
jambo lililothibitisha kuwepo kwa vitendo hivyo vichafu.

Wanaume Watoka Nduki

 
Wakati mrembo huyo akinaswa, baadhi ya wanaume waliokuwa wakisubiria huduma yake walitoka nduki huku wachache wakitiwa ko- rokoroni.


Wote    waliokamatwa    katika sekeseke hilo walipelekwa nyuma ya nondo za Mahabusi kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Maba- tini’ kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria.

Aingiza Sh. 200, 000

 
Chanzo chetu cha habari kilidai kuwa, kutokana na jinsi mrembo huyo ‘anavyokula vichwa’ mambo yakimuendea vizuri huweza ku- kusanya hadi shilingi laki mbili (200,000) kwa siku au usiku mmoja.
Wengine Mbaroni

 
Mbali na mrembo huyo, wengine walionaswa wakijihusisha na bi- ashara haramu ya ngono eneo hilo ni Shakira Thabit na Christina Benard ambao nao walitiwa mbaroni pamoja na wateja wao.


OFM inalipongeza Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni na RPC wake, Camillus Wambura kwa kuitikia wito haraka wanapopata taarifa mbalimbali za uhalifu hivyo kupun- guza kasi ya uovu katika maeneo yake.

-GPL

HIVI NDIVYO AJALI YA PIKIPIKI ILIVYOCHUKUA ROHO ZA WANACHUO WAWILI WA CBE DODOMA, SOMA NA TAZAMA PICHA HAPA...ZINATISAHA !!!

Na John Banda, Dodoma 
WANAFUNZI wawili wa chuo cha biashara  wamepoteza  CBE wamekufa papo hapo kwenye ajali baada ya kugonga tela la mizigo lililokwama barabarani baada ya kuhalibika.
Ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa 1.00 usiku baada ya kugonga tela la lori la mizigo kwa nyuma wakati wanafunzi hao walipokuwa wakitokea kwenye mwaliko wa sherehe ya rafiki zao iliyofanyika katika kijiji cha ihumwa manispaa ya Dodoma.
Gazeti hili lilishuhudia msongamano mkubwa wa magari katika barabara hiyo iliyopo pembezoni mwa kambi ya jeshi ya Ihumwa kwa takribani saa zaidi ya tatu kabla ya polisi wa usalama barabarani kufika na kuongoza utaratibu wa kuondoka.
Kaimu kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Suzan Kaganda alisema chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa wanafunzi hao wakati wakiendesha pikipiki hiyo  yenye namba za usajili T 420 CCN  waliokuwa wakukitokea barabara ya morogoro kuingia mjini.
Suzan aliwataja kuwa ni Ramadhan Lesso na Gerger Lwandala wanafunzi wa CBE  na kwamba uzembe wa Dereva wa lori hilo lenye namba za usajili T 477 ABM na huku Tela lake ni T 838 AAZ aliyeliacha barabrani zaidi ya wiki bala kuweka alama yoyote huku matengenezo ya barabara hiyo yakiendelea katik eneo hilo.
Aliongeza kuwa miili ya marehemu hao iliyokuwa imehalibika vibaya kutokana na kufumuka fuvu la kichwa cha aliyekua dereva wa pikipiki hiyo  na ubongo kusambaa katika eneo hilo imehifadhiwa katika hospital ya mkoa.

Kwa picha za ajali hiyo bofya soma zaidi 

lakini tunaomba radhi kwa picha hizo zinaleta usumbufu ukiziangalia
 Miili ya Marehemu Ramadhan Lesso na Gerge Lwandala inaonakana kabla ya kuondolewa katika kijiji cha Ihumwa barabara ya Morogoro Dodoma kabala ya kuondolewa na kuhifadhiwa katika chumba cha maiti hospital ya mkoa.
 Baadhi ya watu wakiisogeza miili ya Wanafunzi wa CBE Dodoma  walikufa kutokana na kuligonga tela la lori kwa nyuma kutokana na mwendo kasi huku lori hilo likiwa limetelekezwa zaidi ya wiki bila alama yoyote barabarani hapo.
 
 Baadhi ya asikari wa Jeshi la wananchi walionekana kujaribu kutoa msaada katika ajali hiyo iliyosababisha vifo vya wanafunzi wa chuo cha biashara CBE Dodoma.
 Asikari wa wasalama barabarani akisaidiana kupima upana wa barabara sehemu ilipotokea ajali hiyo ilihusisha pikipiki na lori la mizigo.
 

Mambomseto Copyright © 2011 -- Template created by MAMBOMSETO TEAM -- Powered by MAMBOMSETO

Like Us On Facebook
Follow Us on Twitter